Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Layl ( The Night )
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Layl ( The Night ) - Verses Number 21
وَأَمَّا مَن بَخِلَ وَاسْتَغْنَىٰ ( 8 )

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
وَمَا يُغْنِي عَنْهُ مَالُهُ إِذَا تَرَدَّىٰ ( 11 )

Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُ مِن نِّعْمَةٍ تُجْزَىٰ ( 19 )

Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
Random Books
- UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA-
Source : http://www.islamhouse.com/p/385737
- Vipi tusome Tarekhe ya Aal-Beit na Masahaba?-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336327
- Makasisi Waingia Uislamu-
Source : http://www.islamhouse.com/p/380267
- Wanawake katika Uislamu Ukilinganisha na Wanawake katika Mafundisho ya Kiyahudi-Kikristo-
Source : http://www.islamhouse.com/p/191551
- Maswali YaliyowaongozaVijana wa Kishia Kuingia Katika HakiMaswali YaliyowaongozaVijana wa Kishia Kuingia Katika Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/369244